• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2022

Uvamizi wa Ukraine: athari zake za kisheria ni zipi?
Europe Features International Politics

Uvamizi wa Ukraine: athari zake za kisheria ni zipi?

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

ICJ ilisema Jumanne itafanya vikao kuhusu mauaji ya halaiki nchini Ukraine kati ya Machi 7 na 8

Afrika Kusini haijarekodi vifo vyovyote vinavyotokana na UVIKO 19, kwa mara ya kwanza tangu Mei 2020
Africa Features International Lifestyle & Health

Afrika Kusini haijarekodi vifo vyovyote vinavyotokana na UVIKO 19, kwa mara ya kwanza tangu Mei 2020

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Afrika Kusini iliripoti karibu vifo 100,000 vilivyotokana na UVIKO 19, na zaidi ya kesi milioni 3.6 za maambukizi.

UN imesema dola bilioni 1.7 zinahitajika kuisaidia Ukraine.
Africa

UN imesema dola bilioni 1.7 zinahitajika kuisaidia Ukraine.

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Hii ni kufuatia kuongezeka kwa mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine yaliyosababisha mahitaji makubwa ya kibinadamu baada ya huduma muhimu kuathirika na maelfu ya watu kufungasha virago kuzikimbia nyumba zao kwenda kusaka usalama.

Mahakama yafuta kesi tano za Ugaidi
Africa East Africa

Mahakama yafuta kesi tano za Ugaidi

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Hatua hiyo imekuja baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao.

Serikali yaelekeza nguvu kwenye mikoa inayongoza kwa ukatili
Africa East Africa

Serikali yaelekeza nguvu kwenye mikoa inayongoza kwa ukatili

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Mikoa inayoongoza kwa matukio ya ukatili ikiwamo vipigo, mauaji, ubakaji imetajwa kuwa ni Mara, Manyara, Dodoma na Singida.

IGP Sirro atuma salamu kwa “Vishandu”
Africa East Africa

IGP Sirro atuma salamu kwa “Vishandu”

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Aagiza kufanyika operesheni za kuwasaka na kuwakamata wahalifu wanaotumia pikipiki kupora raia.

UN: An estimated one million people displaced in Ukraine
International Lifestyle & Health People Politics

UN: An estimated one million people displaced in Ukraine

Leah NgariMarch 1, 2022March 1, 2022

UNHCR announced that 660,000 people had already fled Ukraine to neighbouring countries and that figures were increasing “exponentially”.

Mganga ambaka mwanafunzi kwa madai kuwa ni masharti ya dawa
East Africa

Mganga ambaka mwanafunzi kwa madai kuwa ni masharti ya dawa

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Jeshi la Polisi Mkoani Lindi linamtafuta Juma Salumu maarufu ‘Juma kipanya’ ambaye ni mganga wa kienyeji mkazi wa Manispaa ya Lindi,anayedaiwa kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa darasa la saba mwenye umri wa miaka 15 Wilayani Lindi.

TikTok begins letting users upload videos as long as 10 minutes
Africa Arts & Culture Business / Finance East Africa International People

TikTok begins letting users upload videos as long as 10 minutes

Leah NgariMarch 1, 2022March 1, 2022

TikTok more than tripling the length of videos comes as YouTube and Facebook-parent Meta strive to counter the rival with short-form content options.

Geita wataka V8 yao irudishwe
East Africa Politics Tanzania

Geita wataka V8 yao irudishwe

Asia GambaMarch 1, 2022July 2, 2024

Gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser V8, lilichukuliwa na Tamisemi mwishoni mwa mwaka 2020 kufuatia malalamiko ya Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma kuwa gari hilo lilinunuliwa kwa bei ya Sh400 milion bila ridhaa ya madiwani, wakati kukiwa na na upungufu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo