• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: April 2022

Amuua mumewe kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali kichogoni.
Africa East Africa

Amuua mumewe kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali kichogoni.

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Chanzo cha tukio kimetajwa kuwa ni ugomvi uliotokana na mwanamke ambaye ni mtuhumiwa kuchelewa kurudi nyumbani na alipoulizwa ndipo ulizuka ugomvi uliopelekea kifo cha mwanaume.

Ajenda ya 10/30 kuwainua Wakulima nchini Tanzania
Africa East Africa

Ajenda ya 10/30 kuwainua Wakulima nchini Tanzania

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Ajenda ya 10/30 ni lengo ambalo Wizara ya Kilimo nchini Tanzania imejiwekea kulifikia mwaka 2030, ambapo kwa sasa Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano unaisha mwaka 2025 unaeleza kwamba sekta ya kilimo inatakiwa ikuwe kwa wastani wa 5.7% ikiwa ndio malengo yaliyowekwa kwa Miaka mitano.

NCCR Mageuzi wagoma kushiriki kongamano la maridhiano lililoandaliwa na TCD
Africa East Africa

NCCR Mageuzi wagoma kushiriki kongamano la maridhiano lililoandaliwa na TCD

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Msimamo huo umetolewa leo na Mkuu wa Idara ya Sheria na Katiba wa chama hicho, Wakili Boniface Mwabukusi, ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati kuu iliyokutana jana Jumapili chini ya mwenyekiti wake, James Mbatia.

Bei ya Mafuta huenda ikaongezeka zaidi   
Africa East Africa

Bei ya Mafuta huenda ikaongezeka zaidi   

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Chibulunje amesema soko la dunia la bei ya mafuta imepanda kwa kiasi kikubwa, ambapo kwa mwezi Desemba 2021 tani moja ya mafuta ya petroli ilikuwa inauzwa dola 717, na hadi kufikia Machi mwaka huu ilipanda hadi kufikia dola 1,106 kwa tani moja.

Shujaa wa Mau Mau – Field Marshall Muthoni akatwa nywele alizofuga kwa miaka 70
East Africa Features People

Shujaa wa Mau Mau – Field Marshall Muthoni akatwa nywele alizofuga kwa miaka 70

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Field Marshall Muthoni alijiunga na vuguvugu la maumau akiwa na takriban miaka 20. Kazi yake ya kwanza aliyofanya ilikuwa kama jasusi

Mji mkuu wa Somaliland wapata hasara kubwa baada ya moto kuzuka
Africa Features

Mji mkuu wa Somaliland wapata hasara kubwa baada ya moto kuzuka

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Meya wa Hargeisa, mji mkuu wa Somaliland, alikadiria moto ulioteketeza soko la Waheen ulisababisha hasara ya hadi $2B

Washindi wakuu katika Tuzo za Grammy za 2022
Africa Arts & Culture Entertainment Features International

Washindi wakuu katika Tuzo za Grammy za 2022

Maureen MedzaApril 4, 2022April 4, 2022

Jon Batiste alishinda tuzo tano zikiwemo Albamu Bora ya Mwaka.

Wapeleka risasi kwa mganga wa kienyeji kwa ajili ya kufanyia zindiko
Africa East Africa

Wapeleka risasi kwa mganga wa kienyeji kwa ajili ya kufanyia zindiko

Asia GambaApril 4, 2022April 4, 2022

Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia watu wawili raia wa Burundi wakiwa na risasi mbili za bunduki aina ya AK 47 ambazo walikuwa wakizipeleka kwa mganga kwa ajili ya kuzifanyia zindiko ili wafaulu kwenye shughuli zao za ujambazi.

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Entertainment Features Football International Middle East

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.

Kusaidia watu kufa ‘Euthanasia’ : Maeneo ambako ni halali barani Ulaya
Europe Features International Lifestyle & Health

Kusaidia watu kufa ‘Euthanasia’ : Maeneo ambako ni halali barani Ulaya

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Miaka 20 iliyopita, Aprili 1, 2002, Uholanzi ilikuwa nchi ya kwanza ulimwenguni kuhalalisha “euthanasia”, ambapo mtu husaidiwa kujitoa uhai.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo