Rais mpya wa Msumbiji kuapishwa leo huku maandamano yakipamba moto.
Msumbiji imeanza sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule Daniel Chapo ambaye anachukua nafasi yake baada ya wiki kadhaa za machafuko ya kisiasa yaliyosababisha vifo vingi.
Msumbiji imeanza sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule Daniel Chapo ambaye anachukua nafasi yake baada ya wiki kadhaa za machafuko ya kisiasa yaliyosababisha vifo vingi.
Kwa sasa, kimbunga hicho hakiashirii uwezekano wa kusababisha athari za moja kwa moja hapa nchini. Hata hivyo, kutokana na ukaribu wa maeneo ambayo kimbunga “DIKELEDI” kipo sambamba na maeneo ya kusini mwa nchi yetu, upo uwezekano mdogo wa matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo ya Pwani ya kusini hususan katika Mikoa ya Lindi na Mtwara kwa siku ya leo tarehe 14 ya Januari, 2025.
Tsehai alitekwa Jumapili wakati akitoka saluni kutengeneza nywele zake eneo la katikati ya Nairobi ambapo wanaume watatu walimvuta kutoka kwenye teksi yake na kumwingiza kwenye gari lao.
Msumbiji inajiandaa kuapisha bunge lake jipya leo Jumatatu, baada ya miezi kadhaa ya maandamano ya vurugu kufuatia uchaguzi uliofanyika Oktoba, ambao upinzani unasema ulighushiwa.
Hii si mara ya kwanza Maria kufatiliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni watekaji ambapo wote waliojaribu kumteka wanahusishwa na mamlaka.
Slaa alikamatwa jana usiku nyumbani kwake Mbweni na mpaka sasa Jeshi hilo halijaweka wazi tuhuma zinazomkabili mwanasiasa huyo.
Vikosi vya usalama vilizuia wafuasi wake kufika kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo kumlaki Venancio Mondlane alipoingia, ambapo mtu mmoja aliuawa kwa kupigwa risasi na kujeruhiwa kwenye moja ya vizuizi.
Aidan Eyakuze ni mtaalamu aliyejitolea katika kupigania mabadiliko ya kijamii kupitia uwazi na ushiriki wa wananchi katika masuala ya kisiasa na utawala. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa OGP, Aidan alikuwa mkurugenzi wa shirika la Twaweza kwa kipindi cha miaka takribani 10
Wapiganaji wa M23, wanaoungwa mkono na Rwanda, waliteka mji wa Masisi, mji muhimu katika kanda ya madini ya DRC, siku ya Jumamosi.
Mahakama ya Juu nchini Msumbiji ilithibitisha ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa Oktoba uliozozaniwa, baada ya madai ya ulaghai kusababisha machafuko ya mtaani yaliyochukua wiki kadhaa na kusababisha vifo.