Kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji agoma kujiunga na Serikali Mpya
Daniel Chapo alishindwa kuwa rais wiki moja iliyopita, akiwaahidi kuleta umoja nchini baada ya ghasia za uchaguzi zilizochukua maisha ya takriban watu 300.
Daniel Chapo alishindwa kuwa rais wiki moja iliyopita, akiwaahidi kuleta umoja nchini baada ya ghasia za uchaguzi zilizochukua maisha ya takriban watu 300.
Licha ya kuwa hakujatangazwa matokeo ya jumla lakini matokeo yanaonyesha ushindi wa Lissu dhidi ya wapinzani wake Freeman Mbowe na Odero Odero.
Waswahili wanasema leo ndio leo, inyeshe mvua liwake jua lazima kieleweke hivi ndivyo unaweza kusema leo katika Mkutano Mkuu wa Chadema ambapo wanachadema wanaamua hatma yao katika safu yao ya uongozi ni nani ataongoza gurudumu la chadema kama Mwenyekiti Taifa.
Ameeleza pia msukumo wake wa kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.
Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema mpaka January 15, 2025, majibu ya uchunguzi wa kimaabara kutoka kwa Wahisiwa wa Ugonjwa wa Marburg waliochukuliwa sampuli hizo hayajathibisha uwepo wa virusi hivyo.
Kupitia ukurasa wake WHO imesema hadi tarehe 10 mwezi huu kulikuwa na wagonjwa 6 lakini idadi iliongezeka na kufikia 9 tarehe 11 mwezi huu na wagonjwa walikuwa na dalili kama vile maumivu ya kichwa, homa, maumivu ya mgongo, kuhara, kutapika damu, uchovu wa mwili na mwishoni kabisa ni kutoka damu kwenye matundu yote ya mwili.
Msumbiji imeanza sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule Daniel Chapo ambaye anachukua nafasi yake baada ya wiki kadhaa za machafuko ya kisiasa yaliyosababisha vifo vingi.
Kwa sasa, kimbunga hicho hakiashirii uwezekano wa kusababisha athari za moja kwa moja hapa nchini. Hata hivyo, kutokana na ukaribu wa maeneo ambayo kimbunga “DIKELEDI” kipo sambamba na maeneo ya kusini mwa nchi yetu, upo uwezekano mdogo wa matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo ya Pwani ya kusini hususan katika Mikoa ya Lindi na Mtwara kwa siku ya leo tarehe 14 ya Januari, 2025.
Tsehai alitekwa Jumapili wakati akitoka saluni kutengeneza nywele zake eneo la katikati ya Nairobi ambapo wanaume watatu walimvuta kutoka kwenye teksi yake na kumwingiza kwenye gari lao.
Msumbiji inajiandaa kuapisha bunge lake jipya leo Jumatatu, baada ya miezi kadhaa ya maandamano ya vurugu kufuatia uchaguzi uliofanyika Oktoba, ambao upinzani unasema ulighushiwa.