Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda
Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.
Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.
Wanachama wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC) walikamatwa nchini Kenya na kushtakiwa kwa kile wakili Erias Lukwago alichokiita “unyanyasaji” kwa utaratibu wa kisheria na mamlaka ya Uganda.
This agreement not only ends a lengthy dispute but also saves both Tanzania and Indiana Resources considerable time and costs associated with further legal battles.
Kenya Foreign Affairs Principal Secretary, Korir Singo’ei on Monday said the government had presented the requisite documentation of Kenya’s nominee…
Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amesema kumekuwa na ushirikiano mdogo kwa waathiriwa wa utekaji pindi wanapohitajika na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kutoa ushirikiano utakaofanikisha upelelezi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii saba wenye asili ya China na dereva raia wa Tanzania
In an exciting turn of events, Boniface Mwabukusi, a prominent Tanzanian lawyer and activist, has won his appeal against the…
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface…
Mawakili tisa wanaomwakilisha kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamefungua kesi dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camilius Wambura na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, wakiomba mteja wao aachiliwe huru na alipwe fidia.
Wanachama kadhaa wa ODM, wengine ambao wanahudumu kwa sasa kama wabunge, wameteuliwa na Rais William Ruto kujiunga na Baraza Jipya…