Angry mob kills child killer after escape from police custody in Kenya
Masten Wanjala confessed to killing 13 children and drinking their blood.
Masten Wanjala confessed to killing 13 children and drinking their blood.
Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.
Rais wa Liberia George Weah alikuwa mwanakandanda wa timu ya taifa kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na siasa na kuwa rais wa taifa.
Mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop huenda yalitokana na mzozo wa kimapenzi.
Rais Ndayishimiye anasema agizo hilo ni kwa heshima ya mwendazake rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aliyekuwa ameokoka
Tangu shindano hilo lilipozinduliwa 1952, mataifa manne ya Afrika. Afrika Kusini, Botswana, Namibia na Angola yameshinda tuzo hiyo.
Mnada ulifanywa na Catawiki kwa lengo la kupata fedha za kufadhili elimu ya wanafunzi maskini kupitia wakfu wa Eliud Kipchoge.
Compulsory pregnancy testing on teenage girls a violation of right to privacy.
Filamu za James Bond zinatokana na vitabu vilivyoandikwa na Ian Fleming, mwandishi kutoka Uingereza aliyeandika vitabu hivyo hadi mwaka 1953.Nyota wa vitabu hivyo James Bond akiwa ni jasusi anayejulikana kwa jina “007”
Mjukuu wake Zere Natabay, anasema anarekodi za kanisa, ikiwemo cheti chake cha kuzaliwa kinachoonesha kuwa alizaliwa mwaka wa 1894, pamoja na mwaka aliobatizwa ikithibitisha aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 127.