Rwanda Cuts Diplomatic Ties with Belgium Amid Ongoing Tensions
The government emphasized that this move reflects Rwanda’s dedication to safeguarding its national interests, maintaining peace, and upholding sovereignty and mutual respect.
The government emphasized that this move reflects Rwanda’s dedication to safeguarding its national interests, maintaining peace, and upholding sovereignty and mutual respect.
Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.
Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini bila maelezo yoyote kutoka kwa mamlaka za Angola.
The incident raises diplomatic and political concerns, particularly as many of those denied entry are opposition leaders in their respective countries.
Previously, Kenyans were required to pay Ksh.300 for a first-time ID application, while lost IDs attracted a replacement fee of Ksh.1,000
Prof. Sarungi’s passing marks the end of an era, but his legacy will continue to inspire future generations
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.
Prof. Sarungi will be remembered for his contributions to Tanzania’s healthcare, education, and governance.
UNICEF imebaini kuwa kesi 221 za ubakaji dhidi ya watoto zimeripotiwa rasmi tangu mwanzo wa mwaka 2024, lakini idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi. Waathiriwa ni pamoja na wavulana na wasichana, ambapo theluthi moja ya waathiriwa ni wavulana.
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.