20,000 Seafarers, 15,000 Passengers Stuck in Gulf: UN Agency
Iran has effectively shut down the Strait of Hormuz, through which a fifth of the world’s crude and considerable supplies of liquefied natural gas travel.
Iran has effectively shut down the Strait of Hormuz, through which a fifth of the world’s crude and considerable supplies of liquefied natural gas travel.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…
Kenya has historically been seen as a safe space for exiled activists and regional human rights defenders. However, recent events have raised questions about whether that space is shrinking.
The Ministry urged citizens to take preventive measures such as covering the mouth and nose when coughing or sneezing, frequent handwashing with soap and running water or using sanitizers, avoiding unnecessary crowding, and wearing masks when symptomatic or in crowded areas.
Mahakama ilibaini kuwa notisi iliyowasilishwa na Jamhuri ilikuwa ya maelezo ya nyongeza yasiyoangukia katika masharti ya kifungu hicho, hivyo haikuwa na msingi wa kupokelewa katika hatua ya sasa ya shauri.
International charities and NGOs have also come under attack, with medical facilities destroyed and food convoys assaulted and looted.
Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.
The French government issued a long-awaited report Wednesday urging people to limit meat consumption for their health and also to fight climate change — and not everyone in the country of “steak-frites” is thrilled.
Kering has struggled to turn things around at Gucci, the Italian fashion house famous for its handbags, and in March it wooed the Georgian designer Demna to take over as artistic director.
Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.