10 Countries are Home to Two-Thirds of World’s most Hungry: UN-backed report
Around 266 million people in 47 countries or territories experienced high levels of acute food insecurity last year, nearly double the share recorded in 2016.
Around 266 million people in 47 countries or territories experienced high levels of acute food insecurity last year, nearly double the share recorded in 2016.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Tume imepata ushahidi unaoonyesha kuwa matukio hayo hayakutokea kwa bahati mbaya, bali yalipangwa, yaliratibiwa, yalifadhiliwa na kutekelezwa na watu waliokuwa na maandalizi ya awali, ikiwemo kupata mafunzo maalum.
Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imeeleza kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania zilitokana na mkusanyiko wa changamoto za muda mrefu zilizokuwa zikijengeka ndani ya jamii bila kushughulikiwa ipasavyo.
Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.
Pope Leo XIV on Wednesday called for “greater room for freedom” in Equatorial Guinea and delivered a rare criticism of living conditions for prisoners before visiting inmates in a jail known for its squalor and ill-treatment of detainees.
Among those killed are at least 274 women and 177 children, according to the health ministry, which does not classify people as combatants or civilians.
Kenya, Tanzania na Uganda yametajwa miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika ukandamizaji wa wapinzani na wanaharakati nje ya mipaka yao, ikionyesha Afrika Mashariki kama kitovu cha mashirikiano ya kiusalama yenye sura ya kiimla, kulingana na ripoti mpya ya Freedom House
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
The order announced by Min Aung Hlaing — the coup leader who ousted Suu Kyi’s government and was sworn in last week as civilian president — to reduce the remaining terms of all sentences under 40 years by one-sixth “also applies to her”, the source said.
The Rohingya mainly leave from huge camps in Bangladesh’s Cox’s Bazar, where more than a million refugees forced to flee across the border from war-torn Myanmar’s Rakhine state live in squalid conditions.