Public Viewing of Raila Odinga’s Body Moved to Kasarani as Crowds Overwhelm Original Plan
Officials say dignitaries will view first at Kasarani before doors open to the public, with all logistics now coordinated from the stadium.
Officials say dignitaries will view first at Kasarani before doors open to the public, with all logistics now coordinated from the stadium.
Maandalizi haya yanakusudia kuheshimu wosia wa Raila aliyeelekeza azikwe ndani ya saa 72 tangu kifo chake
The programme seeks to honour Raila’s wish stated in his will, to be laid to rest within 72 hours of his death
Katika kesi hiyo, vigogo hao wa CHADEMA wanatuhumiwa kukiuka amri ya Mahakama Kuu iliyotolewa Juni 10, 2025, kufuatia uwepo wa kesi ya madai inayohusu usawa kwenye mgawanyo wa mali ndani ya CHADEMA, inayosikilizwa chini ya Jaji Hamidu Mwanga. Wadaiwa kuwa wamepigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa na matumizi ya rasilimali za chama hadi pale kesi hiyo itakapopatiwa uamuzi.
Katika maelezo yake mbele ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dastun Ndunguru, Lissu alisema kuwa baadhi ya watu waliokuwa tayari kushiriki katika kusikiliza kesi hiyo, wakiwemo raia wa kigeni, walifukuzwa nchini na kurudishwa nchini mwao.
Kesi hiyo, ambayo leo inachukua siku ya saba tangu ianze kusikilizwa kwa hatua ushahidi imekuwa ikivuta hisia za wananchi na wadau wa sheria, ilianza kusikilizwa majira ya saa tatu asubuhi ambapo Kahaya alianza kutoa ushahidi wake, na leo aliendelea kujibu maswali ya dodoso kutoka kwa Lissu.
Raila alihatarisha maisha yake kwa kuongoza maandamano, mikutano ya hadhara, na kampeni za mageuzi, akisisitiza kuwa Kenya inahitaji katiba mpya, utawala wa sheria, na haki za binadamu.
He has quietly gathers President Tshisekedi’s rivals in Nairobi.
TEC’s Secretary General, Fr Dr Charles Kitima, unequivocally flagged the document as fake.
People flooded a square in front of the Antananarivo city hall, waving flags and chanting slogans, some hanging off military vehicles as they arrived, AFP reporters saw.