Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Chadema yaikataa Tume ya Rais Samia, yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.

People Politics Social Issues

Samia akiri ghasia za uchaguzi zimeiathiri Tanzania Kimataifa, ahofia kutopata mikopo

Rais Samia amesema Tanzania kwa kiasi kikubwa bado inategemea mikopo kutoka taasisi za Kimataifa ili kuendeleza miradi yake ya maendeleo. Hata hivyo, kutokana na matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi, huenda taasisi hizo zikapungukiwa na imani ya kuifadhili Tanzania. Ameeleza kuwa sasa ni muhimu kutafuta mbinu mbadala za kupata fedha, ikiwemo kutumia rasilimali za taifa zilizo ndani ya nchi.