Tanzania Election Under Fire as Thabo Mbeki Foundation Questions Credibility of Polls
The Foundation said Tanzania deserves a path toward justice, truth and national unity, calling for an honest and inclusive national dialogue.
The Foundation said Tanzania deserves a path toward justice, truth and national unity, calling for an honest and inclusive national dialogue.
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.
Rais Samia amesema Tanzania kwa kiasi kikubwa bado inategemea mikopo kutoka taasisi za Kimataifa ili kuendeleza miradi yake ya maendeleo. Hata hivyo, kutokana na matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi, huenda taasisi hizo zikapungukiwa na imani ya kuifadhili Tanzania. Ameeleza kuwa sasa ni muhimu kutafuta mbinu mbadala za kupata fedha, ikiwemo kutumia rasilimali za taifa zilizo ndani ya nchi.
The BBC apologised last week for giving the impression in a documentary that Trump had directly urged “violent action” just before the assault on the US Capitol by his supporters on January 6, 2021.
They claimed that the operation was carried out by a “militia” linked to General Muhoozi Kainerugaba, Museveni’s son and accused regional governments of collusion.
“Our country has lost its dignity because of what transpired during the week of the general election,” said Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, leading the service.
Khama condemned leaders who cling to power through violence and manipulation, saying, “It is totally unacceptable when an African leader, in order to stay in power, will resort to killing his or her own people, will rig an election as if they are God’s gift to their country.”
Wakili wa Serikali, Thawabu Issa, akiwasilisha maelezo kwa niaba ya wenzake, alieleza kuwa baada ya kufika mahakamani na kutomuona mshtakiwa, walifanya mawasiliano na Jeshi la Magereza ambapo Mkuu wa Magereza aliwataarifu kwamba Lissu hakuweza kufikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama.
Her lawyer, Peter Kibatala, told the court that Niffer was beaten by several police officers and forced to sign a statement before she was taken to court.