Pope Leo Meets First Woman Archbishop of Canterbury
Pope Leo XIV met on Monday with the first woman to lead the world’s Anglican Christians, the newly enthroned Archbishop of Canterbury Sarah Mullally, urging unity to evangelize more effectively.
Pope Leo XIV met on Monday with the first woman to lead the world’s Anglican Christians, the newly enthroned Archbishop of Canterbury Sarah Mullally, urging unity to evangelize more effectively.
Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imeeleza kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania zilitokana na mkusanyiko wa changamoto za muda mrefu zilizokuwa zikijengeka ndani ya jamii bila kushughulikiwa ipasavyo.
Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.
Pope Leo XIV on Wednesday called for “greater room for freedom” in Equatorial Guinea and delivered a rare criticism of living conditions for prisoners before visiting inmates in a jail known for its squalor and ill-treatment of detainees.
Kenya, Tanzania na Uganda yametajwa miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika ukandamizaji wa wapinzani na wanaharakati nje ya mipaka yao, ikionyesha Afrika Mashariki kama kitovu cha mashirikiano ya kiusalama yenye sura ya kiimla, kulingana na ripoti mpya ya Freedom House
US President Donald Trump’s threat to destroy Iran’s centuries-old civilisation was the red line that prompted Pope Leo to show his colours, analysts say.
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
Trump has called the pontiff “WEAK on Crime, and terrible for Foreign Policy”, suggesting that cardinals only elected Leo pope in May 2025 because he was American, and a potential bridge to Washington.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wakati wa operesheni maalum iliyopewa jina la “No Reforms No Election”, kampeni iliyolenga kushinikiza mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini.
King’ora cha tahadhari ya mashambulizi ya anga kimelia katika maeneo mbalimbali ya Israel, ikiwemo kitovu cha biashara cha Tel Aviv na mji wa pwani wa kusini wa Ashdod, kufuatia mashambulizi ya makombora kutoka Lebanon.