Mnyika: No Reforms No Elections Ilikua Chini Ya Mwenyekiti Mbowe
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, John Mnyika, ameendelea kuhojiwa kwa maswali ya dodoso na upande wa Jamhuri katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.