Uganda opposition leader treason trial starts without lawyers
The judge said Besigye would be able to choose from a list of state lawyers and if he failed to do so, they would be selected for him.
The judge said Besigye would be able to choose from a list of state lawyers and if he failed to do so, they would be selected for him.
Serikali ya Tanzania imeikosoa makala iliyochapishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha BBC Africa Eye, ikidai kuwa imewasilisha taarifa zisizo na uwiano kuhusu kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.
Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
“There is no struggle without culture,” he once said, arguing that culture was not separate from politics, justice or constitutional reform.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.
Riot police, weapons drawn, are visible across the commercial capital Dar es Salaam after calls to protest on July 7, usually a day that celebrates the creation of the African Union of Tanganyika, the party that led Tanzania to independence in 1964.
The Uganda Law Society said Museveni’s remarks on Besigye’s case and his views on bail interfere with the independence of the courts.
Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbrod Mutafungwa amesema aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni Marco Msenyere (52), mpasua mawe na mkazi wa Semba-Lwanhima. Wakati wa tukio hilo, marehemu alikuwa na wenzake wakinywa kahawa kwenye kibanda hicho akiwa na begi dogo ambalo ndani yake lilikuwa na baruti hizo.
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.