Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.
Riot police, weapons drawn, are visible across the commercial capital Dar es Salaam after calls to protest on July 7, usually a day that celebrates the creation of the African Union of Tanganyika, the party that led Tanzania to independence in 1964.
The Uganda Law Society said Museveni’s remarks on Besigye’s case and his views on bail interfere with the independence of the courts.
Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbrod Mutafungwa amesema aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni Marco Msenyere (52), mpasua mawe na mkazi wa Semba-Lwanhima. Wakati wa tukio hilo, marehemu alikuwa na wenzake wakinywa kahawa kwenye kibanda hicho akiwa na begi dogo ambalo ndani yake lilikuwa na baruti hizo.
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.
Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.
Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.
Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.
If enacted, the legislation would require the US government to assess the current state of relations between Washington and Dar es Salaam and examine Tanzania’s growing ties with China and Russia.