Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.