‘Echoes Of War’ Tamthilia Ya Wanafunzi Wa Butere Girls Inayoipa Serikali ya Kenya Tumbo Joto
Tamthilia hiyo, iliyoandikwa na aliyekuwa Seneta wa Kakamega Cleophas Malala, imezungumzia pakubwa madhila, mahangaiko na hali ngumu ya Maisha wanayopitia kizazi cha vijana alamarufu Gen Z.