• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Social Issues

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

US Senate Committee Advances Bill Seeking Review of Relations with Tanzania
Development East Africa International People Politics Social Issues Tanzania

US Senate Committee Advances Bill Seeking Review of Relations with Tanzania

Joy CheptooJune 18, 2026June 18, 2026

If enacted, the legislation would require the US government to assess the current state of relations between Washington and Dar es Salaam and examine Tanzania’s growing ties with China and Russia.

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara
Africa East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara

Asia GambaJune 18, 2026

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefafanua mjadala ulioibuka hivi karibuni kuhusu upatikanaji wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara, akisisitiza kuwa ushirikiano uliopo kati ya mifuko ya bima ya afya ya pande mbili za Muungano unaendelea kuruhusu wananchi kupata huduma bila ubaguzi.

South Sudanese Graft Whistleblower Abducted in Kenya
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

South Sudanese Graft Whistleblower Abducted in Kenya

Mwanzo EditorJune 10, 2026June 10, 2026

Multiple activists and opposition figures from neighbouring countries have been abducted in Kenya in recent years.

All Eyes on Tanzania’s Court of Appeal as Tundu Lissu Case Returns to Court on Thursday
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

All Eyes on Tanzania’s Court of Appeal as Tundu Lissu Case Returns to Court on Thursday

Joy CheptooJune 10, 2026June 10, 2026

The outcome of Thursday’s hearing could determine the next direction of the case.

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani
East Africa Kenya Politics Social Issues

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani

Asia GambaJune 9, 2026

Kituo hicho kinajengwa katika Kambi ya Anga ya Laikipia, iliyopo Nanyuki chini ya Mlima Kenya, na kinatarajiwa kutumika kuwaweka karantini raia wa Marekani watakaowasili kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo kwa sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola

Op-Ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati
Crime & Justice East Africa Opinion Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Op-Ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati

Jeffrey SmithJune 3, 2026June 3, 2026

Mtihani uliopo sasa ni kama kanda hii, pamoja na dunia pana, itasimama kwa mshikamano wa kweli na Watanzania kudai ukweli na haki, au itatazama kimya

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy