• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Social Issues

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba
Africa East Africa Kenya Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba

Asia GambaJuly 8, 2026

Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.

Tanzanians fear more police killings ahead of planned protests
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Tanzanians fear more police killings ahead of planned protests

Mwanzo EditorJuly 6, 2026

Riot police, weapons drawn, are visible across the commercial capital Dar es Salaam after calls to protest on July 7, usually a day that celebrates the creation of the African Union of Tanganyika, the party that led Tanzania to independence in 1964.

Uganda Law Society Criticizes Museveni Over Remarks on Besigye Trial
East Africa People Politics Rights & Freedoms Uganda

Uganda Law Society Criticizes Museveni Over Remarks on Besigye Trial

Joy CheptooJuly 5, 2026

The Uganda Law Society said Museveni’s remarks on Besigye’s case and his views on bail interfere with the independence of the courts.

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana
Europe Social Issues

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana

Asia GambaJuly 2, 2026

Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti
Social Issues Tanzania

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti

Asia GambaJuly 2, 2026

Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbrod Mutafungwa amesema ​aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni Marco Msenyere (52), mpasua mawe na mkazi wa Semba-Lwanhima. Wakati wa tukio hilo, marehemu alikuwa na wenzake wakinywa kahawa kwenye kibanda hicho akiwa na begi dogo ambalo ndani yake lilikuwa na baruti hizo.

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

US Senate Committee Advances Bill Seeking Review of Relations with Tanzania
Development East Africa International People Politics Social Issues Tanzania

US Senate Committee Advances Bill Seeking Review of Relations with Tanzania

Joy CheptooJune 18, 2026June 18, 2026

If enacted, the legislation would require the US government to assess the current state of relations between Washington and Dar es Salaam and examine Tanzania’s growing ties with China and Russia.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy