President Ruto defends his move to build State House church
”I have no apologies to make for building a church”
”I have no apologies to make for building a church”
DCI ilimhusisha Kinyagia na chapisho la uchochezi lililosambaa kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), likihamasisha maandamano ya Gen Z ya Juni 25. Picha hiyo ilibeba nembo ya taifa na ratiba ya shughuli za kisiasa, ikiwemo maandamano kuelekea Ikulu na uapisho wa “baraza la mpito”.
Kinyagia, known for his digital activism and association with the Gen Z protest movement, had been sought by the Directorate of Criminal Investigations (DCI) over unspecified allegations.
Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa
We place full confidence in your firm’s commitment to justice, rule of law and democratic integrity.
Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).
Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.
The activists, Praise Aloikin , Claire Namara and Norah Kobusingye, were arrested by police and are currently being held at Wandegeya Police Station.
Will the pipeline really improve the lives of people in Uganda, Tanzania and other East African countries? Or will it increase inequality, worsen climate change and divide the region?
The 2025 conference is set to bring together judges, lawyers, corporate counsels, academics and regulators from across the continent.