Obado Set To Be Sentenced On September 16 Over Sharon Otieno Murder
Obado and his co‑accused face the possibility of life imprisonment or the death penalty, depending on the court’s final determination.
Obado and his co‑accused face the possibility of life imprisonment or the death penalty, depending on the court’s final determination.
Akiwasilisha hoja yake ya “No Case to Answer”, Lissu amesema Jamhuri imeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa nia ya kutenda uhaini pamoja na vitendo vinavyothibitisha nia hiyo.
Kupitia Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, Jamhuri imeiambia Mahakama kuwa baada ya kupitia ushahidi uliokwisha kutolewa na kuuchambua pamoja na ushahidi uliokuwa umebaki, imejiridhisha kuwa hakuna sababu ya kuendelea kuwaita mashahidi wengine.
The World Liberty Congress has also called on the Tanzanian government to immediately and unconditionally release Tundu Lissu, while urging the international community, democratic governments and human rights organizations to closely monitor his situation.
Madeleka joined ACT Wazalendo after leaving CHADEMA, where he had been a longtime member and supporter.
Dozens of Ugandans and Tanzanians are thought to be hiding in neighbouring Kenya after recent elections in their countries triggered mass arrests, kidnappings, and murders.
The judge said Besigye would be able to choose from a list of state lawyers and if he failed to do so, they would be selected for him.
Serikali ya Tanzania imeikosoa makala iliyochapishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha BBC Africa Eye, ikidai kuwa imewasilisha taarifa zisizo na uwiano kuhusu kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.
Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
“There is no struggle without culture,” he once said, arguing that culture was not separate from politics, justice or constitutional reform.