Kanisa Katoliki Musoma lalaani Polisi kuwapiga mabomu BAWACHA kanisani
Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila, amelaani vikali tukio la Jeshi la Polisi kurusha mabomu ya machozi ndani ya eneo la kanisa wakati wa ibada, tukio lililotokea wakati wanachama wanawake wa Chadema BAWACHA, walipokuwa wakitoka ibadani.