• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa
East Africa Politics Tanzania

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa

Asia GambaApril 10, 2025

Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu

Asia GambaApril 7, 2025

Hoja hizo ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uchaguzi huru na haki wakati huu ambapo Tanzania inajiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Oktoba 2025

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita
Africa East Africa War & Conflicts

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita

Asia GambaMarch 20, 2025

Kuchukuliwa kwa mji wa Walikale wenye wakazi takriban 60,000 mwishoni mwa siku ya Jumatano kunashiria kwamba kundi hili la wapiganaji limefika sehemu ya mbali kabisa magharibi kutoka eneo lao la awali tangu lilipojitokeza mwaka 2012.

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo
East Africa Politics Social Issues War & Conflicts

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo

Asia GambaMarch 18, 2025

Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi
East Africa Kenya People Rights & Freedoms

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi

Asia GambaMarch 17, 2025

Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC
Africa East Africa War & Conflicts

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC

Asia GambaFebruary 27, 2025February 28, 2025

Katika mahojiano  alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi
Africa East Africa War & Conflicts

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi

Asia GambaFebruary 25, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.

Rais wa Burundi afanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Africa Politics War & Conflicts

Rais wa Burundi afanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Asia GambaFebruary 24, 2025

Rais wa Burundi alielekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Felix Tshisekedi, kuhusu mgogoro unaoendelea mashariki mwa taifa hilo lenye eneo kubwa la Afrika ya Kati, vyanzo vingi vya habari vimesema.

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema
East Africa Politics Tanzania

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema

Asia GambaFebruary 24, 2025

Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amesisitiza kuwa yeye bado ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), isipokua suala la yeye kufukuzwa uanachama ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana mpaka leo wanapigania haki yao ya kuwa wanachama wa Chadema.

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii
Crime & Justice East Africa People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii

Asia GambaFebruary 18, 2025

Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo