Idris Elba kufungua studio ya filamu nchini Tanzania
Hii ni baada ya Elba na mkewe, Sabrina Elba, kukutana na Rais Suluhu kando ya Kongamano la Kiuchumi la Dunia huko Davos, Uswizi, mapema mwezi huu
Hii ni baada ya Elba na mkewe, Sabrina Elba, kukutana na Rais Suluhu kando ya Kongamano la Kiuchumi la Dunia huko Davos, Uswizi, mapema mwezi huu
Hassan has been under pressure to break with the hardline policies of John Magufuli, who died in 2021 after six years of heavy-handed rule in a country once seen as a democratic beacon in East Africa
Orodha hiyo inajumuisha viongozi wakuu duniani wanaofanya kazi katika sekta mbalimbali, kuanzia siasa, uchumi, teknolojia, uhisani na afya
Mozambique and Tanzania have signed two cooperation agreements in Maputo aimed at fighting terrorism and crime along their shared border.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.
The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said earlier this week it had agreed to revive a stalled process to review the constitution “for the greater national interest”.
Asisitiza viongozi wa dini na machifu kuirejesha jamii karibu na Mungu kuondoa imani potofu
Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi amemsihi Rais Samia Suluhu Hassan kutokubali kulinganishwa na Mungu kwa namna yoyote ile.
Rais Samia na Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu walijadili masuala mbalimbali yenye maslahi kwa nchi ya Tanzania,
The new speaker Tulia Ackson’s predecessor, Job Ndugai, resigned last month after criticising President Suluhu.