• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba
East Africa Politics

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba

Joy CheptooJuly 7, 2024August 7, 2024

Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.

Waziri wa mambo ya ndani Tanzania ashangazwa na watu kuhusisha siasa na utekaji unaoendelea nchini humo.
Tanzania

Waziri wa mambo ya ndani Tanzania ashangazwa na watu kuhusisha siasa na utekaji unaoendelea nchini humo.

Asia GambaJuly 3, 2024July 3, 2024

Waziri Masauni ametoa kauli hiyo leo katika uzinduzi wa kitabu cha Shekhe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi huku akishangazwa na namna ambavyo siasa imekuwa ikitumika katika matukio hayo kwa kuyahusisha na vyombo vya dola ambavyo jukumu lake ni kulinda Raia na mali zao.

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito
Business / Finance East Africa Tanzania

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wafanyabiashara wanaitaka Serikali kupunguza kodi, kuwawekea mazingira mazuri ya biashara lakini pia kuwekwa kwa mifumo mizuri ya ukusanyaji kodi tofauti na inavyofanywa hivi sasa.

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya
East Africa Kenya Politics

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya

Asia GambaJune 26, 2024April 17, 2025

Rais wa Kenya William Ruto aliapa kuchukua msimamo mkali dhidi ya “vurugu na machafuko” yaliyotokea siku ya Jumanne, baada ya maandamano ya kupinga mapendekezo ya serikali yake ya kupandisha ushuru kuwa mbaya na waandamanaji kulivamia bunge.

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo
Business / Finance East Africa Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.
East Africa Politics Tanzania

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.

Asia GambaJune 19, 2024July 3, 2024

Jana Juni 18, 2024 Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, alilitangazia bunge na kutoa amri chini ya mamlaka aliyonayo ya kumfikisha mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kutokana na kwamba amelidharau bunge na mamlaka ya Spika.

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya
Business / Finance East Africa Tanzania

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya

Asia GambaJune 18, 2024July 4, 2024

Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni.

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea wakana taarifa ya Tanzania kusaini mkataba unaouza bahari na madini yake.
Business / Finance East Africa

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea wakana taarifa ya Tanzania kusaini mkataba unaouza bahari na madini yake.

Asia GambaJune 4, 2024July 4, 2024

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini umesema Tanzania haijasaini mkataba wowote na Jamhuri ya Korea unaohusu Bahari wala Madini katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoendelea nchini humo.

El Nino not responsible for East Africa floods: scientists
Climate change East Africa

El Nino not responsible for East Africa floods: scientists

Mwanzo EditorMay 24, 2024July 3, 2024

Torrential rainfall in Kenya, Tanzania and neighbouring nations killed more than 500 people

Kenyan football, athletics, disrupted by stadium closures
East Africa Football Sports

Kenyan football, athletics, disrupted by stadium closures

Mwanzo EditorMay 15, 2024July 5, 2024

Kenya’s sports ministry had said in April it would be closing Nairobi’s two main stadiums and another in Eldoret for renovations to prepare for the 2027 AFCON which Kenya will host jointly with Tanzania and Uganda.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo