• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Meli kubwa iliyobeba watalii 2,210 yatua Bandari ya Dar
Africa East Africa

Meli kubwa iliyobeba watalii 2,210 yatua Bandari ya Dar

Asia GambaJanuary 16, 2024January 16, 2024

Meli hiyo inayoitwa Norwegian Cruise Line Dawn yenye urefu wa mita 294, imetajwa kuwa kubwa zaidi kuwasili katika bandari zote nchini tangu kuanzishwa kwake. Norwegian Cruise Line Dawn ilianza kufanya kazi mwaka 2002 ikiwa na thamani ya zaidi ya Sh1 trilioni.

Chadema:Serikali itekeleze madai yetu, tupo tayari kwa mdahalo
Africa East Africa

Chadema:Serikali itekeleze madai yetu, tupo tayari kwa mdahalo

Asia GambaJanuary 15, 2024January 15, 2024

Msimamo huo umetolewa leo tarehe 15 Januari 2022 kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na  Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema,  John Mrema, ikiwa ni  siku moja  baada ya Makonda kutaka mdahalo na viongozi wa chama hicho

CCM yamteua Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wake
Africa East Africa

CCM yamteua Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wake

Asia GambaJanuary 15, 2024January 15, 2024

Dk Nchimbi anachukua nafasi ya Daniel Chongolo ambaye alijiuzulu kwa kile alichodai kuwa amechafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

Mahakama ya Uganda yasikiliza pingamizi la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja
Africa East Africa

Mahakama ya Uganda yasikiliza pingamizi la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja

Asia GambaDecember 18, 2023December 18, 2023

Mahakama ya kikatiba ya Uganda siku ya Jumatatu ilianza kusikiliza pingamizi la kwanza la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo imezua ukosoaji kutoka kwa Umoja wa Mataifa na kusababisha vikwazo vya viza vya Marekani kwa maafisa wa serikali.

Mashirka 16 ya Umma yaunganishwa,manne yafutwa
Africa East Africa

Mashirka 16 ya Umma yaunganishwa,manne yafutwa

Asia GambaDecember 15, 2023December 15, 2023

Serikali ya Tanzania imetangaza kuyaunganisha mashirika na taasisi 16 na kufuta mashirika na taasisi za umma nne, ili kuongeza tija katika utendaji kazi.

Joshua Mollel, mwanafunzi wa pili kutoka Tanzania aliyeuawa na Hamas nchini Israel.
Africa East Africa

Joshua Mollel, mwanafunzi wa pili kutoka Tanzania aliyeuawa na Hamas nchini Israel.

Asia GambaDecember 15, 2023December 15, 2023

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba alitangaza Alhamisi Desemba 14, 2023 kuwa Serikali ya Israel iliwafahamisha kuwa Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa akisoma nchini Israel, aliuawa mara baada ya kuchukuliwa mateka na kundi la Hamas. tarehe 07 Oktoba 2023.

Chadema yatafakari uamuzi wa Mahakama kesi ya kina Mdee
Africa East Africa

Chadema yatafakari uamuzi wa Mahakama kesi ya kina Mdee

Asia GambaDecember 15, 2023December 15, 2023

Mahakama Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam jana Desemba 14,2023, ilibatilisha uamuzi wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) la kuwavua uanachama wabunge wa Viti Maalum, Halima Mdee na wenzake 18 ambao walituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya chama hicho

Serikali:Wananchi chukueni tahadhari kujikinga na magonjwa na mfumo wa hewa
Africa East Africa

Serikali:Wananchi chukueni tahadhari kujikinga na magonjwa na mfumo wa hewa

Asia GambaDecember 14, 2023December 14, 2023

Mganga mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Prof. Tumaini Nagu amewata wananchi kuzingatia kanuni za afya kwa kuzingatia usafi na kupata chanjo ya UVIKO 19 kwa ukamilifu ili kujikinga na magonjwa ya njia ya hewa ikiwemo mafua, kikohozi, kupumua kwa shida, kuwashwa koo, homa na kuumwa kichwa. 

Akamatwa akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka saba
Africa East Africa

Akamatwa akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka saba

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja (32), akituhumiwa kumbaka mtoto wa miaka saba  ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Nalunga, iliyopo katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, mkoani hapa.

Mwanasheria wa Tanzania Joseph Oleshangay atunukiwa tuzo ya Haki za Binadamu ya Weimar nchini Ujerumani.
Africa East Africa

Mwanasheria wa Tanzania Joseph Oleshangay atunukiwa tuzo ya Haki za Binadamu ya Weimar nchini Ujerumani.

Asia GambaDecember 11, 2023December 11, 2023

Mwanasheria wa haki za binadamu kutoka nchini Tanzania Joseph Moses Oleshangay ametunukiwa Tuzo ya Haki za Kibinadamu ya Weimar nchini Ujerumani mnamo Desemba 10, 2023, ambayo pia ilifanyika kuwa Siku ya Kimataifa ya Haki za Kibinadamu, kama ilivyotangazwa na Umoja wa Mataifa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo