Nigeria’s government to airlift citizens stranded in Ukraine
African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.
African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.
Mbali na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu UNFPA ilibainisha kuwa watoto wameuawa, kujeruhiwa, na wanatiwa kiwewe sana na ghasia zinazowazunguka. Mamia kwa maelfu ya watoto wametenganishwa na familia zao na kukimbilia nchi jirani kusaka hifadhi.
Hii ni kufuatia kuongezeka kwa mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine yaliyosababisha mahitaji makubwa ya kibinadamu baada ya huduma muhimu kuathirika na maelfu ya watu kufungasha virago kuzikimbia nyumba zao kwenda kusaka usalama.
UNHCR announced that 660,000 people had already fled Ukraine to neighbouring countries and that figures were increasing “exponentially”.
“Nimeridhika kwamba kuna msingi mzuri wa kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu umefanywa nchini Ukraine” tangu 2014, Karim khan
Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ukraine mlipuko huo uliharibu pia jengo la serikali, na kuzidi kuleta hofu kwa raia.
Vikwazo vya kiuchumi pia vinajumuisha kufungia mali ya benki na ya watu binafsi bila kujumuisha benki fulani za Kirusi kutoka kwa interbank SWIFT na udhibiti wa mauzo ya nje.
Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.
Sanctions imposed by the West over the weekend had an immediate impact in Moscow on Monday.
The UN High Commissioner for Human Rights says the suffering in Ukraine is widespread.