• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: UN

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi
Europe Features International Politics

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita
Europe Features International Politics

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Kulingana na data kutoka kwa shirika la Grandi la UNHCR, watu 1,045,459 sasa wameikimbia Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin aanzishe uvamizi Februari 24.

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa
Europe Features International Politics

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine
Europe Features International Politics

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.

Baraza Kuu la UN laitaka Urusi iondoke Ukraine bila masharti.
Africa

Baraza Kuu la UN laitaka Urusi iondoke Ukraine bila masharti.

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Azimio hilo namba A/ES-11/L.1  limepitishwa kwenye kikao hicho cha 11 cha dharura wakati huu ambapo Urusi inaendelea kushambulia Ukraine ambapo misingi ya azimio hilo pamoja na mambo mengine ni tangazo la tarehe 24 mwezi uliopita wa Februari la Rais Vladmir Putin wa Urusi la kuanzisha operesheni maalum ya kijeshi nchini Ukraine.

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo
Europe Features International Politics

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.

UN: An estimated one million people displaced in Ukraine
International Lifestyle & Health People Politics

UN: An estimated one million people displaced in Ukraine

Leah NgariMarch 1, 2022March 1, 2022

UNHCR announced that 660,000 people had already fled Ukraine to neighbouring countries and that figures were increasing “exponentially”.

Wanadiplomasia 12 wa Urusi wa Umoja wa Mataifa  wafurushwa kutoka Amerika: mjumbe wa Urusi
Europe Features International People Politics

Wanadiplomasia 12 wa Urusi wa Umoja wa Mataifa  wafurushwa kutoka Amerika: mjumbe wa Urusi

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Ujumbe wa Urusi katika Umoja wa Mataifa una takriban wafanyikazi 100, kulingana na chanzo cha kidiplomasia cha Urusi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo