Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Mapigano yamepamba moto upya katika taifa hilo licha ya ahadi ya Rais Salva Kiir na Makamu wa Rais Riek Machar, kujitahidi kutekeleza vifungu muhimu vya mapatano ya amani
“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO
Mapigano mapya yalizuka Jumanne kati ya watu wa kabila la Fallata na kabila la Kiarabu katika vijiji vya nje ya Nyala, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kusini
Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo
Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.
Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.
Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.
Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.
“As I have stated before, elections have the potential to be a nation-building moment, or a catastrophe,” the UN envoy for South Sudan, Nicholas Haysom, told the Security Council.