Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Heche Aeleza Mauaji, Vurugu za Uchaguzi Katika Utetezi wa Lissu

Heche alisema Kamati Kuu ya CHADEMA ilikutana Desemba 3, 2024 chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe na kujadili matukio hayo, kabla ya chama kuchukua msimamo wa kutaka mageuzi ya kikatiba na kisheria yafanyike kabla ya uchaguzi. Miongoni mwa mabadiliko aliyoyataja ni kuondoa baadhi ya mamlaka ya Rais na kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi.