• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Africa

14 kizimbani kwa tuhuma za utakatishaji fedha zaidi shilingi milioni 350.
Africa East Africa

14 kizimbani kwa tuhuma za utakatishaji fedha zaidi shilingi milioni 350.

Asia GambaAugust 29, 2023August 29, 2023

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imewafikisha mahakamani watu 14 wakiwemo watumishi  wa Halmashauri mbalimbali mkoani humo wakituhumiwa kwa makosa 16 ikiwemo kuendesha genge la uhalifu na utakatishaji wa fedha zaidi ya shilingi Million 350.

Takukuru yawashikilia 40 kwa tuhuma za wizi wa milioni 450 kwa kutumia mifumo feki ya tehama
Africa East Africa

Takukuru yawashikilia 40 kwa tuhuma za wizi wa milioni 450 kwa kutumia mifumo feki ya tehama

Asia GambaAugust 28, 2023August 28, 2023

Kukamatwa kwa watu hao kumekuja siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaja ubadhilifu wa fedha mkoani Mbeya

Ubalozi wa Tanzania nchini India watoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania aliyedai kufukuzwa ubalozini.
Africa East Africa

Ubalozi wa Tanzania nchini India watoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania aliyedai kufukuzwa ubalozini.

Asia GambaAugust 28, 2023August 28, 2023

Ubalozi huo umetoa ufafanuzi ikiwa ni siku mbili tangu taarifa hizo zilizodai Sayuni aliyedaiwa kunyanyang’anywa hati ya kusafiria na mwenyeji wake kuwa alikosa huduma ubalozini hapo na kumtaka arudi ajaze maombi hayo kwa njia ya mtandao

JWTZ yawaonya wanaotumia sare zao, wataka wajisalimishe.
Africa East Africa

JWTZ yawaonya wanaotumia sare zao, wataka wajisalimishe.

Asia GambaAugust 24, 2023August 24, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa habari na uhusiano Makao Makuu ya Jeshi (JWTZ) Luteni Kanali Gaudentius Ilonda ametoa kauli hiyo Leo Jijini Dodoma mbele ya wanahabari, ambapo amesema katazo hilo la mavazi ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 iliyofanyika marejeo mwaka 2002.

Mbunge wa Ngorongoro ashangazwa Polisi kumkamata bila kibali cha Spika
Africa East Africa

Mbunge wa Ngorongoro ashangazwa Polisi kumkamata bila kibali cha Spika

Asia GambaAugust 24, 2023August 24, 2023

Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai (CCM),ameshangazwa na hatua ya polisi kumkamata bila kibali cha Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kama ambavyo taratibu za ukamatwaji zinapaswa kufanywa kwa wabunge kutokana na kinga ya bunge waliyonayo.

BRICS announces ‘historic’ admission of six new members
Africa Asia Europe People

BRICS announces ‘historic’ admission of six new members

Mwanzo EditorAugust 24, 2023August 24, 2023

The BRICS — Brazil, Russia, India, China and South Africa — agreed at their annual summit to make Argentina, Ethiopia, Iran, Saudi Arabia, Egypt and the United Arab Emirates full members from January 1.

Suspected Jihadists Kill 12 Niger Troops: State TV
Africa Gender International People Politics

Suspected Jihadists Kill 12 Niger Troops: State TV

Mwanzo EditorAugust 23, 2023August 23, 2023

Suspected armed Islamists have killed 12 soldiers in Niger’s remote southwest, state television reported on Tuesday, in the latest attack…

Senegal brings back survivors of boat tragedy
Africa People

Senegal brings back survivors of boat tragedy

Joan WafulaAugust 22, 2023August 22, 2023

More than six weeks after they left Senegal, 38 survivors from the boat tragedy off Cape Verde returned to Dakar…

China leader makes first visit to Africa in five years
Africa Asia Business / Finance People Politics

China leader makes first visit to Africa in five years

Mwanzo EditorAugust 22, 2023July 5, 2024

Mr Xi, who is also paying a state visit, arrived in Johannesburg on Monday night and was welcomed by President Cyril Ramaphosa.

Unachohitaji kujua kuhusu BRICS na wanachama wake
Africa Business / Finance

Unachohitaji kujua kuhusu BRICS na wanachama wake

Joy CheptooAugust 21, 2023August 21, 2023

Kama mwenyekiti wa 2023 wa BRICS, Afrika Kusini inasema zaidi ya nchi 40 zimeonyesha nia ya kujiunga na umoja huo, ili kufungua faida kama vile kuongezeka kwa biashara na uwekezaji

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo