Wanawake waliovunja rekodi katika kujifungua pacha wengi
Mji wa Igbo-Ora nchini Nigeria ni kati ya miji inayorekodi idadi kubwa ya visa vya kuzaliwa kwa watoto pacha duniani.
Mji wa Igbo-Ora nchini Nigeria ni kati ya miji inayorekodi idadi kubwa ya visa vya kuzaliwa kwa watoto pacha duniani.
Squid Game — a fictional drama from South Korea — is Netflix’s “biggest-ever series at launch,” the streaming company said earlier this week.
“Our last chance” to determine origins of the COVID-19 causing virus.
Rais wa Liberia George Weah alikuwa mwanakandanda wa timu ya taifa kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na siasa na kuwa rais wa taifa.
Japan’s Princess Mako will marry her commoner fiance this month
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
Nyama ya mbwa imekuwa kati ya vyakula vinavyopendwa sana nchini Korea kusini ikiaminika kuwa mbwa milioni moja huliwa kila mwaka.
Mwaka wa 2020, India ilirekodi visa 28,046 vya ubakaji ikiwa ni takriban visa 77 vya ubakaji kila siku.
Taliban inataka kushirikishwa katika mijadala ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) Marekani
Pacha wawili kutoka Japan wamethibitishwa na Guiness World Records kuwa pacha wazee zaidi duniani wakiwa na umri wa miaka 107 na siku 300.