Son of Norway’s Crown Princess Denies Drugging Anyone
Marius Borg Hoiby pleaded not guilty to the most serious offences. He faces up to 16 years in prison if convicted.
Marius Borg Hoiby pleaded not guilty to the most serious offences. He faces up to 16 years in prison if convicted.
The European Parliament’s debate will focus on issues of fundamental freedoms, human rights and democracy in general, under President Samia Suluhu Hassan’s administration, which has faced allegations of undermining democratic freedoms.
Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.
Afrika Kusini, nchi ya kwanza ya Afrika kuongoza jukwaa hili, ilichukua urais wa G20 mwaka jana ikiwa ni hatua ya kutoa fursa kwa mataifa tajiri kuyasikiliza mataifa maskini.
Trump amewataka wakaanze maisha mapya ya kudumu katika mataifa mengine ya Mashariki ya Kati kama Misri na Jordan.
Georgia has been locked in a political crisis since its contested October election, with tens of thousands pro-EU protesters taking to the streets in recent days against the governing Georgian Dream party.
Biden mwenye umri wa miaka 81 alijitoa kwenye kinyang’anyiro dhidi ya Trump mnamo Julai na kumkabidhi uteuzi wa chama cha Democratic kwa makamu rais Kamala Harris, lakini sasa anatarajiwa kuona urithi wake ukibomolewa na urejesho wa kushangaza wa Trump.
World leaders raced to congratulate Donald Trump on Wednesday as he triumphed in a stunning US election victory over Kamala Harris.
Mitandao ya habari ya Marekani imetangaza kwamba Trump alishinda majimbo muhimu ya Pennsylvania, Georgia, na North Carolina, na anaongoza dhidi ya Makamu wa Rais wa Democratic, Kamala Harris, katika majimbo mengine ingawa hayajatangazwa rasmi bado
Catherine had earlier revealed that she was undergoing a course of “preventative chemotherapy” for an undisclosed cancer.