Mahakama ya Uganda yasikiliza pingamizi la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja
Mahakama ya kikatiba ya Uganda siku ya Jumatatu ilianza kusikiliza pingamizi la kwanza la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo imezua ukosoaji kutoka kwa Umoja wa Mataifa na kusababisha vikwazo vya viza vya Marekani kwa maafisa wa serikali.