Mtoto Mwenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) Ajeruhiwa Kwa Panga Geita
Kamanda Jongo alisema kuwa majera ya mtoto na silaha iliyokutwa eneo la tukio ni wazi aliyafanya tukio hilo hakuwa na lengo la kuondoka na kiungo chochote.
Kamanda Jongo alisema kuwa majera ya mtoto na silaha iliyokutwa eneo la tukio ni wazi aliyafanya tukio hilo hakuwa na lengo la kuondoka na kiungo chochote.
Kamanda Issango amesisitiza wafanyabiashara hao kufanya kazi kidigitali kwa kuhakikisha wanafunga kamera za usalama (CCTV) kwenye maduka yao
Lengesela pamoja na kamati yake wamefanya ziara katika Kata ya Ilungu ili kukagua uhai wa Chama pamoja na maandalizi katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadaye mwaka huu (2024)
At least 155 people have died in Tanzania as heavier-than-usual torrential rains linked to the El Nino weather pattern triggered floods and landslides last month
President Samia had previously publicly acknowledged her Zanzibari heritage
Bibi Titi Mohammed, with limited formal education but boundless courage, left an indelible mark on Tanzanian history, reminding us of the vital role women played in shaping the nation
Dereva huyo anayefahamika kwa majina ya Lukuman Hemed amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Sheila Mameto huku kesi hiyo ikiahirishwa hadi Aprili 30 mwaka huu, baada ya Mawakili wa upande wa Jamhuri kusema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi, ukanda wa Pwani ndio ulioathirika zaidi ambapo watu 33 kati ya 58 wamefariki katika mkoa wa Morogoro na Pwani.
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Taarifa ya TASAC imeeleza kuwa baada ya kuzama Aprili 7, 2024, Wavuvi walimuokoa Abiria mmoja raia wa China na hadi Saa 1:00 Usiku wa Aprili 7, 2024, Watu 17 waliokolewa ambapo Wachina 2, Watanzania 3 na Wakongo 12.