• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

14 kizimbani kwa tuhuma za utakatishaji fedha zaidi shilingi milioni 350.
Africa East Africa

14 kizimbani kwa tuhuma za utakatishaji fedha zaidi shilingi milioni 350.

Asia GambaAugust 29, 2023August 29, 2023

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imewafikisha mahakamani watu 14 wakiwemo watumishi  wa Halmashauri mbalimbali mkoani humo wakituhumiwa kwa makosa 16 ikiwemo kuendesha genge la uhalifu na utakatishaji wa fedha zaidi ya shilingi Million 350.

Takukuru yawashikilia 40 kwa tuhuma za wizi wa milioni 450 kwa kutumia mifumo feki ya tehama
Africa East Africa

Takukuru yawashikilia 40 kwa tuhuma za wizi wa milioni 450 kwa kutumia mifumo feki ya tehama

Asia GambaAugust 28, 2023August 28, 2023

Kukamatwa kwa watu hao kumekuja siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaja ubadhilifu wa fedha mkoani Mbeya

Ubalozi wa Tanzania nchini India watoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania aliyedai kufukuzwa ubalozini.
Africa East Africa

Ubalozi wa Tanzania nchini India watoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania aliyedai kufukuzwa ubalozini.

Asia GambaAugust 28, 2023August 28, 2023

Ubalozi huo umetoa ufafanuzi ikiwa ni siku mbili tangu taarifa hizo zilizodai Sayuni aliyedaiwa kunyanyang’anywa hati ya kusafiria na mwenyeji wake kuwa alikosa huduma ubalozini hapo na kumtaka arudi ajaze maombi hayo kwa njia ya mtandao

JWTZ yawaonya wanaotumia sare zao, wataka wajisalimishe.
Africa East Africa

JWTZ yawaonya wanaotumia sare zao, wataka wajisalimishe.

Asia GambaAugust 24, 2023August 24, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa habari na uhusiano Makao Makuu ya Jeshi (JWTZ) Luteni Kanali Gaudentius Ilonda ametoa kauli hiyo Leo Jijini Dodoma mbele ya wanahabari, ambapo amesema katazo hilo la mavazi ni kwa mujibu wa kifungu cha 99 cha sheria ya Ulinzi wa Taifa (NDA) Sura ya 192 sheria namba 24 ya mwaka 1966 iliyofanyika marejeo mwaka 2002.

Mbunge wa Ngorongoro ashangazwa Polisi kumkamata bila kibali cha Spika
Africa East Africa

Mbunge wa Ngorongoro ashangazwa Polisi kumkamata bila kibali cha Spika

Asia GambaAugust 24, 2023August 24, 2023

Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai (CCM),ameshangazwa na hatua ya polisi kumkamata bila kibali cha Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kama ambavyo taratibu za ukamatwaji zinapaswa kufanywa kwa wabunge kutokana na kinga ya bunge waliyonayo.

Rights groups urge Tanzania to free critics of UAE port deal
Africa Business / Finance East Africa People

Rights groups urge Tanzania to free critics of UAE port deal

Mwanzo EditorAugust 15, 2023August 15, 2023

Critics of the deal say it poses a threat to Tanzanian sovereignty and security, but the government has defended the accord, arguing that it will improve efficiency, cut costs and increase revenues

Awanywesha sumu watoto wa mume wake kisa pesa ya mtumizi
Africa East Africa

Awanywesha sumu watoto wa mume wake kisa pesa ya mtumizi

Asia GambaAugust 15, 2023August 15, 2023

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema tukio hilo limetokea Agosti 12, 2023 saa tatu usiku katika kijiji na kata ya Itobo Wilaya ya Nzega ambapo watoto hao walikorogewa sumu na mama huyo (jina limehifadhiwa) kisha nayeye kunywa sumu hiyo.

Polisi nchini Tanzania wakabiliana na wakosoaji wa mkataba tata wa bandari huku idadi ya waliokamatwa ikiongezeka
Africa East Africa

Polisi nchini Tanzania wakabiliana na wakosoaji wa mkataba tata wa bandari huku idadi ya waliokamatwa ikiongezeka

Asia GambaAugust 14, 2023August 14, 2023

Hadi sasa zaidi ya watu watatu wametajwa kukamatwa akiwemo Dk Willibrod Slaa, aliyewa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden na mwanansiasa maarufu nchini humo na mmoja wa wakosoaji kinara wa makubaliano ya uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na Dubai.

Miaka 30 jela kwa kumlawiti mwanafunzi wa kidato cha pili mkoani Katavi.
Africa East Africa

Miaka 30 jela kwa kumlawiti mwanafunzi wa kidato cha pili mkoani Katavi.

Asia GambaAugust 11, 2023August 11, 2023

Hukumu hiyo imetolewa Agosti 9,2023 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Katavi, Gway Sumaye, ambapo mbali na adhabu hiyo, wawili hao wanatakiwa kumlipa muathirika wa tukio hilo shilingi milioni mbili  kila mmoja ikiwa ni fidia.

JK, Kinana wambana Kubenea, wamtaka kuomba radhi kwa kuwachafua kwenye gazeti lake.
Africa East Africa

JK, Kinana wambana Kubenea, wamtaka kuomba radhi kwa kuwachafua kwenye gazeti lake.

Asia GambaAugust 10, 2023August 10, 2023

Viongozi hao pia wamemtaka Kubenea kutoa kiapo cha kisheria, kwamba yeye na gazeti analolihariri wanaahidi kuacha kuwakashifu, kutoa namna yoyote ya lugha isiyofaa, maneno ya uongo, kero au uchafuzi dhidi yao, na endapo wakishindwa hatua za kisheria zitachukuliwa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo