• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi
Africa East Africa

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria nchini.

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani
Africa East Africa

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ujerumani imetangaza uamuzi huo mjini Berlin baada ya kukamilika kwa majadiliano kati ya ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Ujumbe wa Ujerumani ulioongozwa na Naibu Waziri anayesimamia uhusiano wa kiuchumi na Maendeleo wa nchi hiyo, Dkt. Barbel Kofler.

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu
Africa East Africa

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Nape ametoa kauli hiyo jijini  Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa walipa kodi bora mwaka 2021/2022.

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta
Africa East Africa

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah, alisema tukio hilo limetokea Novemba 10, majira ya saa 10 jioni wakati mtoto aliporudi shule na kukuta mlango wa nyumbani kwao umefungwa na kuamua kujikinga kwenye boma hilo wakati mvua ikinyesha.

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.
Africa East Africa

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.

Asia GambaNovember 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na UNICEF kutoka New York Marekani imeeleza kuwa katika utafiti uliofanywa kwenye nchi 22 za kipato cha chini na cha kati umeonesha jinsi watoto wanavyobaguliwa katika afya, kupata rasilimali zinazotolewa na serikali, na elimu.

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida
Africa East Africa

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ndege hiyo ambayo ilikuwa inaenda mjini Bukoba kupitia Mwanza ikitokea Dar es Salaam, ililazimika kutua salama katika uwanja wa Ndege wa Mwanza majira ya saa 6:56 mchana baada ya kushindwa kutua kwenye uwanja wa Bukoba

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.
Africa East Africa

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, ACP William Mwampagale amewaambia waandishi wa habari tukio hilo lilifanyika wakati wa operashani maalumu baada ya kupata taarifa kuwa kuna kundi lililokuwa linapanga kufanya uhalifu.

Kesi ya Wanavijiji wa Loliondo dhidi ya Waziri wa Utalii na Maliasili, waleta maombi wapewa siku 14 kuleta maombi yao.
Africa East Africa

Kesi ya Wanavijiji wa Loliondo dhidi ya Waziri wa Utalii na Maliasili, waleta maombi wapewa siku 14 kuleta maombi yao.

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Uamuzi huo ulitolewa mawakili Jebra Kambole na Wakili Denis Moses Oleshangai kwa niaba ya waleta maombi na kwa upande wa Serikali alikuwepo wakili Zamaradi Johanes.

Siasa chafu, njaa na ukame vyatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu za ongezeko la wahamiaji haramu duniani
Africa East Africa

Siasa chafu, njaa na ukame vyatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu za ongezeko la wahamiaji haramu duniani

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Tatizo la mabadiliko ya Tabia nchi inayosabaisha njaa, ukame na siasa chafu zimetajwa kama  ni sababu kuu za ongezeko la wakimbizi na wahamiaji wanaotafuta hifadhi ya kisiasa duniani.

Madereva watano wafungiwa leseni mkoani Arusha
Africa East Africa

Madereva watano wafungiwa leseni mkoani Arusha

Asia GambaNovember 16, 2022November 16, 2022

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka katika Mkoa huo limeendelea kutoa Elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva madereva watano (05) kwa makosa mbalimbali.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo