• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Tanzania yaondoa ulazima wa watu kuvaa barakoa baada maambukizi kupungua
Africa East Africa

Tanzania yaondoa ulazima wa watu kuvaa barakoa baada maambukizi kupungua

Asia GambaSeptember 8, 2022September 8, 2022

Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu ametoa taarifa hiyo leo wakati akitoa mrejesho wa tathmini iliyofanyika siku chache tangu Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza wizara itoe mwongozo kuhusu uvaaji wa barakoa.

Queen Elizabeth doctors ‘concerned’ for her health
Europe International

Queen Elizabeth doctors ‘concerned’ for her health

Mwanzo EditorSeptember 8, 2022September 8, 2022

Fears grew on Thursday for Queen Elizabeth II after Buckingham Palace said her doctors were “concerned” for her health and…

CCM yataka serikali iangalie upya sakata la tozo
Africa East Africa

CCM yataka serikali iangalie upya sakata la tozo

Asia GambaSeptember 8, 2022September 8, 2022

Kamati  Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa iliyokutana jana Septemba 7,2022, imetoa maelekezo sita kwa serikali, kuhusu malalamiko ya utitiri wa kodi hususani za miamala ya simu na ya kibenki,ikiwemo kutazama hali halisi ya maisha na  kuchukua hatua stahiki kuhusu utozaji wake wa Kodi

Washtakiwa wanne kesi ya Sabaya waachiwa huru
Africa East Africa

Washtakiwa wanne kesi ya Sabaya waachiwa huru

Asia GambaSeptember 7, 2022September 7, 2022

Agosti 3 mwaka huu washtakiwa wanne waliokuwa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Sabaya ambao ni Silvester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antero Assey waliandika barua ya kuomba kufanya makubaliano na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuhusu shauri linalowakabili.

Tanzania freezes exports permits for Kenyan traders
East Africa

Tanzania freezes exports permits for Kenyan traders

Joy CheptooSeptember 7, 2022September 8, 2022

Tanzania has frozen the issuance of new maize export permits to Kenyan traders, a move that could worsen the shortage of the product.

LHRC yafungua kesi ya kupinga mifumo iliyotumika kupitisha Tozo 
Africa East Africa

LHRC yafungua kesi ya kupinga mifumo iliyotumika kupitisha Tozo 

Asia GambaSeptember 5, 2022September 5, 2022

Aidha LHRC inaomba mahakama kuweka zuio la muda la kuendelea kutumika kwa kanuni hizo hadi pale kesi ya msingi itakapofikia mwisho.

NHIF yapewa siku 14 kupeleka mpango wa kuboresha takwimu za matibabu                    
Africa East Africa

NHIF yapewa siku 14 kupeleka mpango wa kuboresha takwimu za matibabu                   

Asia GambaSeptember 1, 2022September 1, 2022

Amesema hayo leo jijini Dodoma wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari na kueleza kuwa kumekuwepo na vitendo vya udanganyifu kwenye, mfuko huo, hali inayochangia kuyumbisha mfuko.

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi
Africa East Africa

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Mtakwimu Mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Dkt Albina Chuwa hii leo amewaambia wanahabari kwamba hatua hiyo iliyobaki itakwenda kukamilika hadi tarehe 5 2022 September na zoezi hilo litafanyika kwa njia ya simu zilizotolewa zitatumika kuwafikia ambao hawajahesabiwa .

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                        
Africa East Africa

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                       

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Geita, Ally Kitumbu amethibitisha tukio hilo alipozungumuza na waandishi  wa habari na kumtaja mtuhumiwa wa tukio kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba, shule ya msingi Mkombozi iliyopo mjini Geita, Haruna Amin (16). 

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 
Africa East Africa

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Waziri wa Afya nchini humo Ummy Mwalimu amesema utoaji wa chanjo hiyo ni kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Malawi mnamo Februari 17, 2022 na kisha nchini Msumbiji mnamo Mwezi Mei 2022.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy