• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: tundu lissu

Kesi Ya Lissu Yaahirishwa Kwa Muda Usiojulikana
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi Ya Lissu Yaahirishwa Kwa Muda Usiojulikana

Wadh KassimNovember 12, 2025

Wakili Mkuu wa Serikali Nassoro Katuga, ulieleza kwamba mapingamizi yaliyotolewa na mshtakiwa yanahitaji muda zaidi kujibiwa kwa kina, kwani yanagusa vifungu kadhaa vya sheria za ndani na za kimataifa.

Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.

ACT Wazalendo yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa dhidi ya mauaji ya waandamanaji
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

ACT Wazalendo yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa dhidi ya mauaji ya waandamanaji

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.

AU: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa
Africa East Africa Politics Tanzania

AU: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani

Mwanzo EditorOctober 29, 2025

Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.

Samia Peke Yake? Uchaguzi wa Kwanza Tanzania Uliokosa Wapinzani Wakuu
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Samia Peke Yake? Uchaguzi wa Kwanza Tanzania Uliokosa Wapinzani Wakuu

Wadh KassimOctober 29, 2025October 29, 2025

Tanzania inapiga kura leo, Oktoba 29, 2025, katika uchaguzi mkuu unaoonekana kumwendea Rais Samia Suluhu Hassan, anayewania muhula wa pili kupitia CCM. Uchaguzi huu umechochea mjadala mkali kuhusu uhuru wa kisiasa na haki za binadamu, hasa baada ya kuenguliwa kwa wagombea wakuu wa upinzani.

Tundu Lissu Honoured with Akufo-Addo Africa Democracy Award at DUA Forum in Nairobi
Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu Honoured with Akufo-Addo Africa Democracy Award at DUA Forum in Nairobi

Joy CheptooOctober 28, 2025

The award was presented by former Ghanaian President Nana Akufo-Addo during the Democrat Union of Africa (DUA) Forum 2025, held in Nairobi, Kenya, on October 28.

Nairobi Senator Sifuna Joins Global Call for Release of Tanzania’s Lissu and Heche
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Nairobi Senator Sifuna Joins Global Call for Release of Tanzania’s Lissu and Heche

Joy CheptooOctober 28, 2025

The statement accuses Tanzanian authorities of violating human rights through unlawful detention, enforced disappearances and the silencing of opposition voices.

Tundu Lissu Speaks from Prison as President Samia Concludes Campaigns in Mwanza
East Africa People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu Speaks from Prison as President Samia Concludes Campaigns in Mwanza

Joy CheptooOctober 28, 2025

In a statement posted on his official X account on October 26, Lissu said his prison cell has been fitted with CCTV cameras that record all his movements, even during private moments.

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki
East Africa People Politics Tanzania

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki

Asia GambaOctober 28, 2025

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy