• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: tundu lissu

Open Society Condemns Deportation of Its MD, Zimbabwean Lawyer Brian Kagoro, from Kenya
Africa East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uganda

Open Society Condemns Deportation of Its MD, Zimbabwean Lawyer Brian Kagoro, from Kenya

Joy CheptooFebruary 27, 2026

Kenya has historically been seen as a safe space for exiled activists and regional human rights defenders. However, recent events have raised questions about whether that space is shrinking.

Jamhuri yakimbilia Mahakama ya Rufani Baada ya Mahakama Kuu Kukataa Ushahidi  wa Nyongeza
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Jamhuri yakimbilia Mahakama ya Rufani Baada ya Mahakama Kuu Kukataa Ushahidi  wa Nyongeza

Wadh KassimFebruary 24, 2026

Mahakama ilibaini kuwa notisi iliyowasilishwa na Jamhuri ilikuwa ya maelezo ya nyongeza yasiyoangukia katika masharti ya kifungu hicho, hivyo haikuwa na msingi wa kupokelewa katika hatua ya sasa ya shauri.

Tundu Lissu Wins Objection Against Supplementary Evidence In Treason Case
Africa Crime & Justice East Africa International Tanzania

Tundu Lissu Wins Objection Against Supplementary Evidence In Treason Case

Wadh KassimFebruary 24, 2026

Lissu countered that admitting the notice would open a “Pandora’s box” of issues beyond the charge sheet, including politically sensitive events of October 29, 2025.

Lissu Apinga Notice Ya Ushahidi Wa Nyongeza
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Apinga Notice Ya Ushahidi Wa Nyongeza

Wadh KassimFebruary 23, 2026February 23, 2026

Lissu alipinga vikali hatua hiyo, akisema Notice hiyo haina msingi wa kisheria na kusema kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya  yaani shahidi ambaye maelezo yake hayakusomwa wakati wa Committal.

Shahidi: Wanachama wa Chadema Wananitishia mimi Kuja Kutoa Ushahidi
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi: Wanachama wa Chadema Wananitishia mimi Kuja Kutoa Ushahidi

Wadh KassimFebruary 20, 2026

Shahidi huyo alidai kuwa kuna wanachama au wafuasi wa CHADEMA wanaofahamu kuwa anakuja kutoa ushahidi na kwamba walimtishia kwa kumwambia kuwa “lolote baya linaweza kumkuta.”

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa

Wadh KassimFebruary 18, 2026February 18, 2026

Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri

Wadh KassimFebruary 17, 2026February 17, 2026

Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 16, 2026

Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu

Wadh KassimFebruary 12, 2026

Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy