• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo Media

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto
Africa Lifestyle & Health

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto

Asia GambaJune 22, 2026

Halothane bado inatumika kwa kiasi kikubwa katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kuwapa watoto usingizi wakati wa upasuaji. Sababu kuu ni kwamba dawa hiyo ni nafuu zaidi, ikiwa na gharama mara saba hadi kumi chini ya mbadala wake wa kisasa, sevoflurane.

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba
East Africa Politics Tanzania

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba

Asia GambaJune 10, 2026

Ni hatua nyingine muhimu katika kesi ambayo imeendelea kuvuta hisia za wananchi ndani na nje ya Tanzania tangu Lissu alipokamatwa Aprili 9, 2025 na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali
People Politics

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali

Asia GambaJune 3, 2026

Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.

Rais wa Burundi kugombea tena muhula ujao katika uchaguzi wa 2027
Africa East Africa Politics

Rais wa Burundi kugombea tena muhula ujao katika uchaguzi wa 2027

Asia GambaApril 27, 2026

Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais Mei 2020 katika uchaguzi uliokumbwa na tuhuma za udanganyifu na kuondolewa kwa mpinzani wake mkuu.

Ripoti ya Oktoba 29: Je, Itakuwa kipimo cha haki nchini Tanzania?
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Ripoti ya Oktoba 29: Je, Itakuwa kipimo cha haki nchini Tanzania?

Mwanzo EditorApril 23, 2026

Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.

Ongezeko bei ya mafuta lachochea hofu ya mfumuko wa bei
East Africa Energy & Mining Middle East Tanzania

Ongezeko bei ya mafuta lachochea hofu ya mfumuko wa bei

Asia GambaApril 1, 2026

Ongezeko hili kubwa zaidi ya asilimia 33 kwa petroli na dizeli ndani ya mwezi mmoja linatokana na mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati,  kati ya Marekani, Israel na Iran, ulioonza tangu Februari 28, 2026.

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi
Climate change East Africa Environment International Kenya Natural disasters

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi

Asia GambaMarch 23, 2026

Zaidi ya familia 3,000 zimelazimika kuondoka makwao katika jamii ya Nyakach, huku baadhi wakikimbilia katika vituo vinane vya muda, wakazi walisema, wakati maji kutoka mto Mirui unaofurika yakiendelea kuhatarisha eneo hilo.

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Africa East Africa Environment People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu

Asia GambaMarch 20, 2026March 20, 2026

Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali. 

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara
East Africa Tanzania Uncategorized

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara

Asia GambaMarch 18, 2026

Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa
Africa Development East Africa Tanzania

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa

Asia GambaMarch 18, 2026

Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy