Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba
Ni hatua nyingine muhimu katika kesi ambayo imeendelea kuvuta hisia za wananchi ndani na nje ya Tanzania tangu Lissu alipokamatwa Aprili 9, 2025 na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.