Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%
Rais wa Liberia Joseph Boakai ametangaza kupunguza mshahara wake kwa 40%. Kwa mujibu wa ripoti kutoka ofisi ya Rais, Boakai…
Rais wa Liberia Joseph Boakai ametangaza kupunguza mshahara wake kwa 40%. Kwa mujibu wa ripoti kutoka ofisi ya Rais, Boakai…
Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.
Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.
Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo.
Lagos State health officials reported 15 deaths so far and 350 suspected cases, according to a statement on X, formerly Twitter this week.
The MK said it would join a newly formed parliamentary grouping includes several mostly leftist opposition parties represented in parliament.
The success is a welcome departure from Smith’s 2022 action release “Emancipation,” where his role as a runaway slave in the American Civil War failed to resonate with audiences and flopped at the box office.
A huge storm brought down the tree that for centuries stood witness to where slaves were auctioned before being shipped off from Benin’s nearby coast.
The United States and France had both pushed back after reports that Meloni — a far-right leader who is opposed to abortion — was trying to water down the language on women’s rights.