Rais wa Burundi kugombea tena muhula ujao katika uchaguzi wa 2027
Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais Mei 2020 katika uchaguzi uliokumbwa na tuhuma za udanganyifu na kuondolewa kwa mpinzani wake mkuu.
Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais Mei 2020 katika uchaguzi uliokumbwa na tuhuma za udanganyifu na kuondolewa kwa mpinzani wake mkuu.
Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.
Ongezeko hili kubwa zaidi ya asilimia 33 kwa petroli na dizeli ndani ya mwezi mmoja linatokana na mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati, kati ya Marekani, Israel na Iran, ulioonza tangu Februari 28, 2026.
Zaidi ya familia 3,000 zimelazimika kuondoka makwao katika jamii ya Nyakach, huku baadhi wakikimbilia katika vituo vinane vya muda, wakazi walisema, wakati maji kutoka mto Mirui unaofurika yakiendelea kuhatarisha eneo hilo.
Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali.
Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.
Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.
Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.
Masoko ya hisa ya Asia yalishuka kwa kasi Jumatatu huku bei za mafuta zikiongezeka kwa asilimia 30 kutokana na hofu ya upatikanaji wa mafuta kutoka Mashariki ya Kati, wakati vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia wiki ya pili bila dalili ya kupungua.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…