Jerotich Seii: A Beacon of Energy Justice and Social Activism
Jerotich refers to herself as an active citizen, emphasizing the need for consistent vigilance and action against injustices
Jerotich refers to herself as an active citizen, emphasizing the need for consistent vigilance and action against injustices
Kenya began three days of mourning on Friday after its defence chief and nine other senior military officers were killed…
Jenerali Ogolla, 61, aliteuliwa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Ruto mnamo Aprili mwaka jana baada ya muda wa karibu miaka miwili kama naibu.
President William Ruto said the Kenya Air Force has dispatched an air investigation team to establish the cause of the crash, which took place in Elgeyo Marakwet county,
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam katika makao makuu ya chama hicho Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje bwana John Mrema amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ajenda zao na makubaliano yaliyofanyika katika kikao kilichofanyika mkoani Mtwara maarufu Azimio la Mtwara na kwamba kamwe hawatarudi nyuma.
Madaktari madkatrai nchini Kenya wametishia kuacha kufanya uchunguzi wa maiti na kujaza kujaza fomu za P3 iwapo polisi watahujumu na kuwazuia kufanya maandamano yao.
Dereva huyo anayefahamika kwa majina ya Lukuman Hemed amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Sheila Mameto huku kesi hiyo ikiahirishwa hadi Aprili 30 mwaka huu, baada ya Mawakili wa upande wa Jamhuri kusema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Taarifa ya TASAC imeeleza kuwa baada ya kuzama Aprili 7, 2024, Wavuvi walimuokoa Abiria mmoja raia wa China na hadi Saa 1:00 Usiku wa Aprili 7, 2024, Watu 17 waliokolewa ambapo Wachina 2, Watanzania 3 na Wakongo 12.
The Islamic State group said its fighters attacked “a large gathering” on Moscow’s outskirts and “retreated to their bases safely”.