• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Tanzania lifts ban on public gatherings
Africa East Africa Politics Tanzania

Tanzania lifts ban on public gatherings

Kevin SeweJuly 29, 2026July 29, 2026

Police have announced it will resume receiving notices from organisers of public meetings, citing an improvement in the country’s security situation.

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO
Africa East Africa Environment Tanzania Uncategorized

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO

Asia GambaJuly 27, 2026

Serikali ya Tanzania imeutetea mpango wa uhamaji wa hiari wa wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro mbele ya Kamati ya Urithi wa Dunia ya UNESCO, ikisema hatua hiyo inalenga kulinda haki za binadamu, kuhifadhi utu wa wananchi na wakati huo huo kuhakikisha uendelevu wa uhifadhi wa eneo hilo.

CHADEMA Raises Alarm Over Tundu Lissu’s Safety in Detention
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

CHADEMA Raises Alarm Over Tundu Lissu’s Safety in Detention

Joy CheptooJuly 27, 2026July 28, 2026

The World Liberty Congress has also called on the Tanzanian government to immediately and unconditionally release Tundu Lissu, while urging the international community, democratic governments and human rights organizations to closely monitor his situation.

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki
East Africa Politics Tanzania

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki

Asia GambaJuly 27, 2026

Wakili na mwanaharakati wa haki za binadamu Peter Madeleka ametangaza rasmi kujiondoa ndani ya Chama cha ACT Wazalendo, akisema anataka kutumia muda na nguvu zake zaidi katika kupigania haki za wananchi na ustawi wa taifa nje ya siasa za chama.

Tanzanian Lawyer Peter Madeleka Leaves ACT Wazalendo
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Tanzanian Lawyer Peter Madeleka Leaves ACT Wazalendo

Joy CheptooJuly 27, 2026

Madeleka joined ACT Wazalendo after leaving CHADEMA, where he had been a longtime member and supporter.

Shahidi Wa Jamhuri Asema Hajui Kama Lissu Ni Wakili Kitaaluma
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Wa Jamhuri Asema Hajui Kama Lissu Ni Wakili Kitaaluma

Wadh KassimJuly 23, 2026

Shahidi wa nne katika kesi ya Kikatiba ambaye ni Mkuu wa Gereza la Ukonga Edward Shabani amesema hafahamu wala hajui kwamba Tundu Lissu ni Wakili kitaaluma na aliwahi pia kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika(TLS).

Witness: I will not allow Chadema leaders to see Lissu in prison until the trial is completed
Africa East Africa Tanzania

Witness: I will not allow Chadema leaders to see Lissu in prison until the trial is completed

Kevin SeweJuly 23, 2026July 23, 2026

In one of the most emotional exchanges in court, a witness said he could not allow some of the leaders named by Lissu to visit him until the case was over.

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu
Africa East Africa Politics Tanzania

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu

Asia GambaJuly 21, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu
Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu

Asia GambaJuly 14, 2026

Serikali ya Tanzania imeikosoa makala iliyochapishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha BBC Africa Eye, ikidai kuwa imewasilisha taarifa zisizo na uwiano kuhusu kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini

Asia GambaJuly 13, 2026

Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy